March 2017

March 31, 2017
Tazama Picha za mastaa wa Bongo walivyomsindikiza Lady JayDee kwenye uzinduzi wa album yake ya 7 ya ‘Woman’
Leo ilikuwa ni siku muhimu sana kwa msanii mkongwe wa Bongo Fleva Lady JayDee kwani alikuwa anazindua album yake ya saba ijulikanayo kama 'Woman' sherehe zilizofanyika Ukumbi wa King Solomoni hapa jijini Dar es Salaam na hapa tumekuletea picha ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Lil Ommy hana cha kujieleza juu ya ushujaa wa Lady JayDee
Mtangazaji wa kituo cha Times Fm Omary Tambwe a.k.a Lil Ommy ni moja ya watangazaji aliofika katika uzinduzi wa Album ya saba ya Binti komando Judith Wambura 'Lady JayDee' inayokwenda kwa jina WOMAN. Katika kuonesha kuguswa na ukomavu wa Lady ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Joh Makini adata kwa Rosa Ree
Rapa na mwanakikundi na kampuni ya WEUSI Joh Makini mbali na kutajwa kuwa miongoni mwa wasanii wanaofanya vizuri katika muziki wa bongo fleva amemtaja rapa wake wa kike anayemkubali kwasasa. Hitmaker huyo wa ngoma ya WAYA amemtaja Rosa Ree kuwa ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Zipo stori 5 za siku ambazo zimemilikiwa na mstaa wa Bongo na nje ya Bongo
Kama kawaida tunahakikisha habari kubwa tumekuwekea hapa ili uweje kujua kinachoendelea katika ulimwengu wa burudani na leo zimemilikiwa na Jackline Wolper,Nay wa Mitego, Barakah The Prince,Jux,Ben Pol,Joh Makini,Nuh Mziwanda na wengine kibao. Ziko katika mfumo wa video hivyo bonyeza play ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Kuelekea mchezo wa Yanga vs Azam FC: Juma Mwambusi ajitoa ufahamu
Kocha msaidizi wa Yanga SC, Juma Mwambusi amefunguka kuwa timu yake imebakiza mechi sita ngumu ili kutetea ubingwa hivyo anawaanda vijana wake waanze kwa kushinda mchezo wao na Azam FC utakaofanyika kesho katika dimba la Taifa. Mwambusi amefunguka mbinu ambazo zitawapatia ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Baada ya Eric Shigongo kuliona Shimo la Diamond ‘Babu Tale’ atoka mapangoni na kumwaga povu
Baada ya Mjasiriamali Eric Shigongo kumtabiria msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz anguko kubwa la kimuziki kwa kile alichodai kuwa msanii huyo hafanyi show za kutosha nchini kutokana na Gharama kubwa anazochaji kwa matamasha ya ndani hatimae Meneja wake ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Alhaji Mzee Yusuf amuota Diamond Platnumz
Msanii nguli aliyestaafu muziki wa Taarabu Mzee Yusuf huwezi kumtupa nje ya mitandao yakijamii ingawaje ametangaza kuachana na muziki wa kidunia na kuamua kumtumikia Allah lakini bado humkosi mitandaoni. Leo mapema alivamia kwenye ukurasa wa Instagram Diamond Platnumz na kuacha ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
50 Cent ajiondoa kwenye tour ya Chris Brown dakika za mwisho
50 Cent amejiondoa kwenye ziara ya Chris Brown, The Party Tour katika dakika za mwisho. Amechukua hatua hiyo baada ya kushindwa kukubaliana kwenye malipo kati ya uongozi wa 50 na promota wa ziara hiyo. Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Mrembo Victoria Kimani akunwa na ujio wa rapa Kendrick Lamar
Msanii wa muziki wa afro pop kutoka Kenya Victoria Kimani ameshindwa kujizui mbele ujio wa ngoma mpya ya kwanza kutoka katika album ya rapa kutoka Marekani. Kupitia ukurasa wa Instagram Victoria Kimani alipost moja ya picha inayopatikana katika video ya ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Nuh Mziwanda ‘awazodoa’ mashabiki wake
Msanii wa wa bongo fleva anayetamba na ngoma ya anameremeta, Nuh Mziwanda amewataka mashabiki zake kutompangia jina la mtoto wake na kusisitiza yeye kama baba ndiye mwenye mamlaka hayo. Kupitia kipindi cha eNewz ya EATV, Nuh amefunguka kwamba hawezi kumuita binti ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Michepuko yamponza Jose Chameleone
Staa wa ngoma ya ‘wale wale’ Joseph Mayanja a.k.a Jose Chameleone amemjia juu promota wa muziki kwa kusambaza maneno yanayoweza kumvunjia mahusiano yake na mkewe. Taarifa awali zilizosambaa mitandaoni nchini Uganda zinadai kuwa promota Sipapa amehusika kusambaza taarifa hizo kwa ... Read More »
March 31, 2017 0

March 31, 2017
Taarifa rasmi kuhusu afya ya Method Mwanjali kuelekea mchezo dhidi ya Kagera Sugar
Kuelekea mchezo wa Kagera Sugar dhidi ya klabu ya Simba yenye makazi yake mitaa ya msimbazi-Kariakoo jijini Dar es salaam watamkosa beki wao tegemezi wa kati Method Mwanjali baada yakumia kwenye mchezo wao dhidi ya Prisons ya Mbeya. Akizungumza na ... Read More »
March 31, 2017 0